sw_tn/zec/14/01.md

426 B

Maelezo ya Jumla:

Sura hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa.

mateka wenu watakapogawanywa katikati yenu

Inamaanisha "Adui zenu watachukua mali yenu yote na kuigawana mbele yenu"

nitayakusanya mataifa yote kinyume cha Yerusalemu kwa vita

"Nitayafanya mataifa kuishambulia Yerusalemu"

kumbukumbu ya watu haitaondolewa mjini

"Adui zenu wataacha masalia kukaa katika mji"