forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
426 B
Markdown
16 lines
426 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Sura hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa.
|
||
|
|
||
|
# mateka wenu watakapogawanywa katikati yenu
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha "Adui zenu watachukua mali yenu yote na kuigawana mbele yenu"
|
||
|
|
||
|
# nitayakusanya mataifa yote kinyume cha Yerusalemu kwa vita
|
||
|
|
||
|
"Nitayafanya mataifa kuishambulia Yerusalemu"
|
||
|
|
||
|
# kumbukumbu ya watu haitaondolewa mjini
|
||
|
|
||
|
"Adui zenu wataacha masalia kukaa katika mji"
|