sw_tn/zec/13/07.md

496 B

Upanga! inuka mwenyewe

"wewe, upanga! Unapaswa kuamka." Hii ni amri kutoka kwa Yahwe kwa mchungaji wake kupigwa na kuawa.

dhidi ya mchungaji wangu

Hii inamaanisha mfalme fulani au mtumishi fulani wa Yahwe.

hivi ndivyo asemavyo Yahwe wa majeshi

Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.

kondoo

"Kondoo" ni watu wa Israeli.

wadogo

Pengine inarejerea kwa Waisraeli wote walio dhaifu na bila ulinzi.