forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
496 B
Markdown
20 lines
496 B
Markdown
|
# Upanga! inuka mwenyewe
|
||
|
|
||
|
"wewe, upanga! Unapaswa kuamka." Hii ni amri kutoka kwa Yahwe kwa mchungaji wake kupigwa na kuawa.
|
||
|
|
||
|
# dhidi ya mchungaji wangu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha mfalme fulani au mtumishi fulani wa Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# hivi ndivyo asemavyo Yahwe wa majeshi
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.
|
||
|
|
||
|
# kondoo
|
||
|
|
||
|
"Kondoo" ni watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# wadogo
|
||
|
|
||
|
Pengine inarejerea kwa Waisraeli wote walio dhaifu na bila ulinzi.
|