forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
514 B
Markdown
20 lines
514 B
Markdown
# kijito
|
|
|
|
Mahali ambapo kwa asili maji yanatiririka kutoka ardhini.
|
|
|
|
# kwa ajili ya dhambi zao na uchafu
|
|
|
|
"Kutakasa dhambi na uchafu wao"
|
|
|
|
# hili ni tamko la Yahwe wa majeshi
|
|
|
|
Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.
|
|
|
|
# kuondoa majina ya sanamu katika nchi
|
|
|
|
kufuta ibada ya sanamu katika nchi yote"
|
|
|
|
# Nitawaondoa pia katika nchi manabii wa uongo na roho wao mchafu
|
|
|
|
"Pia nitaondoa manabii wa uongo na roho wao wachavu katika nchi."
|