sw_tn/zec/13/01.md

514 B

kijito

Mahali ambapo kwa asili maji yanatiririka kutoka ardhini.

kwa ajili ya dhambi zao na uchafu

"Kutakasa dhambi na uchafu wao"

hili ni tamko la Yahwe wa majeshi

Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.

kuondoa majina ya sanamu katika nchi

kufuta ibada ya sanamu katika nchi yote"

Nitawaondoa pia katika nchi manabii wa uongo na roho wao mchafu

"Pia nitaondoa manabii wa uongo na roho wao wachavu katika nchi."