forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
709 B
Markdown
28 lines
709 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Mistari hii inaendelea na sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji.
|
|
|
|
# siku hiyo
|
|
|
|
Hii inamaanisha wakati Yerusalemu itakaposhambuliwa na Mungu uwashinda adui zake.
|
|
|
|
# kama mitungi ya moto katika miti... nafaka iliyosimama
|
|
|
|
kama mitungi ya moto kati ya mabua ya nafaka yasiyovunwa shambani"
|
|
|
|
# vyungu vya moto
|
|
|
|
Kitu ambacho watu wa kale walitumia kubebea makaa ya moto.
|
|
|
|
# miale ya moto
|
|
|
|
Ukuni unaowaka upande mmoja unaotoa nuru mtu anapotembea au kuchukua moto mahali fulani.
|
|
|
|
# utateketeza watu wote walio karibu
|
|
|
|
"nitawaharibu watu wawazungukao"
|
|
|
|
# Yerusalemu atakaa mahali pake tena
|
|
|
|
Watu wa Yerusalemu wataishi tena katika mji wao.
|