forked from WA-Catalog/sw_tn
709 B
709 B
Maelezo ya Jumla:
Mistari hii inaendelea na sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji.
siku hiyo
Hii inamaanisha wakati Yerusalemu itakaposhambuliwa na Mungu uwashinda adui zake.
kama mitungi ya moto katika miti... nafaka iliyosimama
kama mitungi ya moto kati ya mabua ya nafaka yasiyovunwa shambani"
vyungu vya moto
Kitu ambacho watu wa kale walitumia kubebea makaa ya moto.
miale ya moto
Ukuni unaowaka upande mmoja unaotoa nuru mtu anapotembea au kuchukua moto mahali fulani.
utateketeza watu wote walio karibu
"nitawaharibu watu wawazungukao"
Yerusalemu atakaa mahali pake tena
Watu wa Yerusalemu wataishi tena katika mji wao.