sw_tn/zec/12/06.md

709 B

Maelezo ya Jumla:

Mistari hii inaendelea na sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji.

siku hiyo

Hii inamaanisha wakati Yerusalemu itakaposhambuliwa na Mungu uwashinda adui zake.

kama mitungi ya moto katika miti... nafaka iliyosimama

kama mitungi ya moto kati ya mabua ya nafaka yasiyovunwa shambani"

vyungu vya moto

Kitu ambacho watu wa kale walitumia kubebea makaa ya moto.

miale ya moto

Ukuni unaowaka upande mmoja unaotoa nuru mtu anapotembea au kuchukua moto mahali fulani.

utateketeza watu wote walio karibu

"nitawaharibu watu wawazungukao"

Yerusalemu atakaa mahali pake tena

Watu wa Yerusalemu wataishi tena katika mji wao.