forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
491 B
Markdown
24 lines
491 B
Markdown
# Nitaitia nguvu nyumba ya Yuda
|
|
|
|
"Nitawaimarisha watu wa Yuda"
|
|
|
|
# nyumba ya Yusufu
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu wa ufalme wa Israeli kaskazini.
|
|
|
|
# nilikuwa sijawaondoa
|
|
|
|
"Nilikuwa sijawakataa"
|
|
|
|
# Efraimu atakapokuwa kama shujaa
|
|
|
|
"Efraimu" inarejerea ufalme wa Israeli ya kaskazini.
|
|
|
|
# mioyo yao itafurahi kama kwa mvinyo
|
|
|
|
"nao watakuwa kweli na furaha sana
|
|
|
|
# wana wao wataona na kufurahi. Mioyo yao itanifurahia!
|
|
|
|
"Wana wao wataona yaliyotokea na watafurahi kwa sababu ya yale Yahwe aliyowafanyia!
|