sw_tn/zec/10/06.md

491 B

Nitaitia nguvu nyumba ya Yuda

"Nitawaimarisha watu wa Yuda"

nyumba ya Yusufu

Hii inamaanisha watu wa ufalme wa Israeli kaskazini.

nilikuwa sijawaondoa

"Nilikuwa sijawakataa"

Efraimu atakapokuwa kama shujaa

"Efraimu" inarejerea ufalme wa Israeli ya kaskazini.

mioyo yao itafurahi kama kwa mvinyo

"nao watakuwa kweli na furaha sana

wana wao wataona na kufurahi. Mioyo yao itanifurahia!

"Wana wao wataona yaliyotokea na watafurahi kwa sababu ya yale Yahwe aliyowafanyia!