sw_tn/zec/10/03.md

377 B

Gadhabu yangu inawaka dhidi ya wachungaji

"Wachungaji" wanawakilisha viongozi wa watu wa Mungu.

ni mabeberu - viongozi - nitakao waadhibu

"Mabeberu" wanawakilisha viongozi wasiofaa

Yahwe wa majeshi atalihudumia pia kundi la kondoo wake, nyumba ya Yuda

"Nitaiangalia nyumba ya Yuda"

kuwafanya kama farasi wake wa vita!

"Tawapa uwezo wangu wa nguvu isiyoogopesha"