forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
499 B
Markdown
20 lines
499 B
Markdown
# mnalopaswa kufanya
|
|
|
|
"Ninyi" inawarejerea watu wa Yuda.
|
|
|
|
# Ongeeni kweli, kila mtu na jirani yake
|
|
|
|
"semeni kweli kwa kila mtu"
|
|
|
|
# Hukumuni kwa kweli, haki, na amani malangoni penu
|
|
|
|
"Hukumuni kwa haki katika mahakama zenu ili watu waishi kwa amani.
|
|
|
|
# wala msivutwe na nadhiri za uongo
|
|
|
|
Msikubaliane na watu wasemao uongo katika mashitaka mahakamani"
|
|
|
|
# Hili ni tamko la Yahwe
|
|
|
|
Kifungu hiki kwa kawaida kimetafsiriwa kama "asema Yahwe. Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.
|