sw_tn/zec/08/16.md

499 B

mnalopaswa kufanya

"Ninyi" inawarejerea watu wa Yuda.

Ongeeni kweli, kila mtu na jirani yake

"semeni kweli kwa kila mtu"

Hukumuni kwa kweli, haki, na amani malangoni penu

"Hukumuni kwa haki katika mahakama zenu ili watu waishi kwa amani.

wala msivutwe na nadhiri za uongo

Msikubaliane na watu wasemao uongo katika mashitaka mahakamani"

Hili ni tamko la Yahwe

Kifungu hiki kwa kawaida kimetafsiriwa kama "asema Yahwe. Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.