forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
470 B
Markdown
20 lines
470 B
Markdown
# Msingi wa nyumba yangu ulipowekwa
|
|
|
|
"Msingi wa nyumba yangu ulipowekwa mahali pake" kwa "mlipokuwa mkijenga msingi wa nyumba yangu"
|
|
|
|
# Itieni nguvu mikono yenu
|
|
|
|
"fanyeni kazi kwa bidii"
|
|
|
|
# Maana kabla ya siku hizo
|
|
|
|
"Kabla hamjaanza kulijenga hekalu"
|
|
|
|
# Hakuna mazao yaliyokusanywa ndani
|
|
|
|
"hakukuwa na mazao ya kuvuna"
|
|
|
|
# Hakukuwa na faida kwa mtu wala mnyama
|
|
|
|
Haikuwa na faida kwa mwanadamu na wanyama wao kuilima nchi, kwa sababu hawakupata chakula kutoka ndani yake.
|