Neno la Yahwe wa majeshi lilinijia kusema
Yahwe wa majeshi aliniambia
Nina huruma kwa ajili yake kwa hasira kubwa
"Nimejaa na hasira kwa ajili ya Sayuni"
mlima wa Yahwe wa majeshi
Hii inarejerea Mlima Sayuni.
Mlima mtakatifu
Hapa "Mtakatifu" yamaanisha "ni mali ya Yahwe."