sw_tn/zec/08/01.md

288 B

Neno la Yahwe wa majeshi lilinijia kusema

Yahwe wa majeshi aliniambia

Nina huruma kwa ajili yake kwa hasira kubwa

"Nimejaa na hasira kwa ajili ya Sayuni"

mlima wa Yahwe wa majeshi

Hii inarejerea Mlima Sayuni.

Mlima mtakatifu

Hapa "Mtakatifu" yamaanisha "ni mali ya Yahwe."