sw_tn/zec/07/08.md

387 B

neno la Yahwe lilikuja

"Yahwe alinena neno lake."

Kila mtu na afanye hivi

Neno "hivi" inamaanisha jinsi mtu anavyopaswa kuhukumu.

mjane

mwanamke aliyefiwa mme

yatima

mtoto ambaye wazazi wake wamefariki

mgeni

Mtu aliyekatika nchi ya ugeni

kusiwa na mtu miongoni mwenu anayepanga madhara yoyote kinyume cha mwingine mioyoni mwenu.

"msifanye mipango ya kutenda uovu"