sw_tn/zec/02/10.md

346 B

binti Sayuni

Hili ni jina lingine kwa Yerusalemu linalorejerea kwa mji kama binti wa mji wa Sayuni ya mbinguni.

kupiga kambi

kuweka mahema na kuyatumia

Hili ni tamko la Yahwe

Kifungu hiki wakati mwingine kinatafasiriwa kama asema Yahwe

mataifa watajikusanya kwa Yahwe

"mataifa yatamtii Yahwe"

katika siku hiyo

"kwa wakati ule"