sw_tn/zec/01/10.md

438 B

Hawa ni wale... Walijibu

Maneno "hawa" na "wale" inamaanisha farasi kati ya miti ya mihadasi

kuzunguka duniani

Maana yaweza kuwa: 1) "kuiangalia dunia yote" au 2) "kutembea duniani mwote"

kati ya miti ya mihadasi

ni aina ya miti midogo yenye maua yenye rangi

dunia yote imetulia na kustarehe

"watu wote duniani walikuwa na amani"

imekaa na kuwa na amani

Vifungu vyote vinamaanisha kuweza kutulia pasipo na cha kuogopa.