forked from WA-Catalog/sw_tn
438 B
438 B
Hawa ni wale... Walijibu
Maneno "hawa" na "wale" inamaanisha farasi kati ya miti ya mihadasi
kuzunguka duniani
Maana yaweza kuwa: 1) "kuiangalia dunia yote" au 2) "kutembea duniani mwote"
kati ya miti ya mihadasi
ni aina ya miti midogo yenye maua yenye rangi
dunia yote imetulia na kustarehe
"watu wote duniani walikuwa na amani"
imekaa na kuwa na amani
Vifungu vyote vinamaanisha kuweza kutulia pasipo na cha kuogopa.