forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
438 B
Markdown
20 lines
438 B
Markdown
|
# Hawa ni wale... Walijibu
|
||
|
|
||
|
Maneno "hawa" na "wale" inamaanisha farasi kati ya miti ya mihadasi
|
||
|
|
||
|
# kuzunguka duniani
|
||
|
|
||
|
Maana yaweza kuwa: 1) "kuiangalia dunia yote" au 2) "kutembea duniani mwote"
|
||
|
|
||
|
# kati ya miti ya mihadasi
|
||
|
|
||
|
ni aina ya miti midogo yenye maua yenye rangi
|
||
|
|
||
|
# dunia yote imetulia na kustarehe
|
||
|
|
||
|
"watu wote duniani walikuwa na amani"
|
||
|
|
||
|
# imekaa na kuwa na amani
|
||
|
|
||
|
Vifungu vyote vinamaanisha kuweza kutulia pasipo na cha kuogopa.
|