forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
833 B
Markdown
32 lines
833 B
Markdown
# Katika mwezi wa nane
|
|
|
|
Huu ni mwezi wa nane katika kalenda ya Kiyahudi. Katika kalenda ya sasa ni mwishoni mwa Octoba na mwanzoni mwa Novemba.
|
|
|
|
# mwaka wa pili wa kumiliki kwake Dario
|
|
|
|
"mwaka wa pili tangu Dario alipokuwa mfalme"
|
|
|
|
# Neno la Yahwe lilikuja
|
|
|
|
"Yahwe alinena neno lake"
|
|
|
|
# Berekia...Ido
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# Yahwe alikuwa na hasira sana juu ya baba zenu
|
|
|
|
"Kuwakasirikia sana babu zenu"
|
|
|
|
# Nirudieni
|
|
|
|
Neno "rudi" inamaanisha mabadiliko. Yahwe anawaambia watu wa Israeli kubadilika kutoka kutokumtii na kumtii.
|
|
|
|
# asema Yahwe wa majeshi
|
|
|
|
Kifungu hiki mara kwa mara kitafasiriwa kama "asema Yahwe" katika UDB. Na kirai hiki kimetumika sana katika kitatu cha Zakaria.
|
|
|
|
# Nitawarudia ninyi
|
|
|
|
Kwa kusema atawarudia watu wa Israeli, Yahwe anasema watakuwa na mambo mema yakitokea kwa sababu atakuwa akiwasaidia.
|