forked from WA-Catalog/sw_tn
833 B
833 B
Katika mwezi wa nane
Huu ni mwezi wa nane katika kalenda ya Kiyahudi. Katika kalenda ya sasa ni mwishoni mwa Octoba na mwanzoni mwa Novemba.
mwaka wa pili wa kumiliki kwake Dario
"mwaka wa pili tangu Dario alipokuwa mfalme"
Neno la Yahwe lilikuja
"Yahwe alinena neno lake"
Berekia...Ido
Haya ni majina ya wanaume.
Yahwe alikuwa na hasira sana juu ya baba zenu
"Kuwakasirikia sana babu zenu"
Nirudieni
Neno "rudi" inamaanisha mabadiliko. Yahwe anawaambia watu wa Israeli kubadilika kutoka kutokumtii na kumtii.
asema Yahwe wa majeshi
Kifungu hiki mara kwa mara kitafasiriwa kama "asema Yahwe" katika UDB. Na kirai hiki kimetumika sana katika kitatu cha Zakaria.
Nitawarudia ninyi
Kwa kusema atawarudia watu wa Israeli, Yahwe anasema watakuwa na mambo mema yakitokea kwa sababu atakuwa akiwasaidia.