sw_tn/zec/01/01.md

833 B

Katika mwezi wa nane

Huu ni mwezi wa nane katika kalenda ya Kiyahudi. Katika kalenda ya sasa ni mwishoni mwa Octoba na mwanzoni mwa Novemba.

mwaka wa pili wa kumiliki kwake Dario

"mwaka wa pili tangu Dario alipokuwa mfalme"

Neno la Yahwe lilikuja

"Yahwe alinena neno lake"

Berekia...Ido

Haya ni majina ya wanaume.

Yahwe alikuwa na hasira sana juu ya baba zenu

"Kuwakasirikia sana babu zenu"

Nirudieni

Neno "rudi" inamaanisha mabadiliko. Yahwe anawaambia watu wa Israeli kubadilika kutoka kutokumtii na kumtii.

asema Yahwe wa majeshi

Kifungu hiki mara kwa mara kitafasiriwa kama "asema Yahwe" katika UDB. Na kirai hiki kimetumika sana katika kitatu cha Zakaria.

Nitawarudia ninyi

Kwa kusema atawarudia watu wa Israeli, Yahwe anasema watakuwa na mambo mema yakitokea kwa sababu atakuwa akiwasaidia.