sw_tn/tit/03/03.md

735 B

kwa kuwa

"kwa sababu"

mwanzo

"zamani" au "kwa wakati fulani" au "awali"

mawazo potofu

"ujinga" au "kutokuwa na hekima"

potoshwa na kumikishwa kwa tamaa nyingi na starehe

Paulo anaongelea juu ya tamaa za dhambi kana kwamba ni watu wanaotupotosha kutoka katika njia ya kweli "tumepotoshwa"

tulifanywa watumwa kwa tamaa nyingi na starehe

Paulo anazizungumzia tamaa zetu mbaya za mwanzo na kuzifananisha na mabwana zetu waliotutumikisha.

shauku

"tamaa" au "hamu"

tuliishi katika uovu na wivu

"uovu na "wivu " ni maneno haya yako sawa kimaana, yaote yanamaanisha "dhambi." "Siku zote tulifanya mambo maovu na kutaka vitu vya watu wengine."

Tulichukiza

"tuliwafanya au tuliwasababisha wengine watuchukie"