forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
735 B
Markdown
32 lines
735 B
Markdown
|
# kwa kuwa
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu"
|
||
|
|
||
|
# mwanzo
|
||
|
|
||
|
"zamani" au "kwa wakati fulani" au "awali"
|
||
|
|
||
|
# mawazo potofu
|
||
|
|
||
|
"ujinga" au "kutokuwa na hekima"
|
||
|
|
||
|
# potoshwa na kumikishwa kwa tamaa nyingi na starehe
|
||
|
|
||
|
Paulo anaongelea juu ya tamaa za dhambi kana kwamba ni watu wanaotupotosha kutoka katika njia ya kweli "tumepotoshwa"
|
||
|
|
||
|
# tulifanywa watumwa kwa tamaa nyingi na starehe
|
||
|
|
||
|
Paulo anazizungumzia tamaa zetu mbaya za mwanzo na kuzifananisha na mabwana zetu waliotutumikisha.
|
||
|
|
||
|
# shauku
|
||
|
|
||
|
"tamaa" au "hamu"
|
||
|
|
||
|
# tuliishi katika uovu na wivu
|
||
|
|
||
|
"uovu na "wivu " ni maneno haya yako sawa kimaana, yaote yanamaanisha "dhambi." "Siku zote tulifanya mambo maovu na kutaka vitu vya watu wengine."
|
||
|
|
||
|
# Tulichukiza
|
||
|
|
||
|
"tuliwafanya au tuliwasababisha wengine watuchukie"
|