sw_tn/tit/02/11.md

898 B

Sentensi kiunganishi

Paulo anamtia moyo Tito kuutarajia ujio wa Yesu na kukumbuka mamlaka yake kupitia kwa Yesu.

neema ya Mungu imeonekana.....Inatufundisha

Paulo anaiongelea neema ya Mungu kama ni Mtu anayeenda kwa watu wengine na kuwafundisha jinsi ya kuishi maisha matakatifu.

inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia

Inatufundisha tusimwasi Mungu

tamaa za kidunia

"Hizi ni tamaa kali kwa ajili ya vitu vya dunia hii" au "tamaa kwa ajili anasa"

katika wakati huu

"wakati bado tunaishi katika dunia hii" au " "muda huu"

tunatarajia kupokea

"Tunasubiri kupokea"

tumaini letu lenye baraka,

Paulo anamaanisha kwamba Mungu atakuja kwetu ambaye ndani yake tumeweka tumaini letu .

mwonekano wa utukufu wa Mungu wetu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.

Paulo anaongelea juu ya utukufu wa Mungu kumaanisha kwamba Mungu mwenyewe atajidhihirisha.