sw_tn/tit/02/09.md

564 B

mabwana zao

"mabwana zao wenyewe"

katika kila kitu

"katika kila hali" au "mara zote"

kuwafurahisha

"kuwafanya mabwana zao wafurahi" au "kuwaridhisha mabwana zao"

kuiba

kuwaibia vitu vidogo mabwana zao

kuonesha imani nzuri

"kudhihirisha kuwa wanaaminika kwa mabwana zao"

katika kila njia

"katika kila jambo wanalolifanya"

kupamba mafundisho yetu

Paulo anazungumzia mafundisho ya kikristo kana kwamba ni kitu ambacho chaweza kupambwa. "Yafanyeni mafundisho yetu ili yawavutie watu wengine"

Mungu mwokozi wetu

"Mungu wetu anayetuokoa"