forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
704 B
Markdown
36 lines
704 B
Markdown
# Sentensi unganishi:
|
|
|
|
Paulo anaendelea kumweleza Tito sababu za yeye kuhubiri Neno la Mungu, na jinsi ambavyo wazee, akina mama wazee, vijana, na watumwa au watumishi wanapaswa kuishi kama waamini.
|
|
|
|
# Lakini wewe
|
|
|
|
Paulo anatofautisha "Lakini wewe Tito, kinyume na walimu wa uongo"
|
|
|
|
# na maelekezo ya kuaminika
|
|
|
|
"mafundisho ya kweli" au "na mafundisho sahihi"
|
|
|
|
# Kiasi
|
|
|
|
"akili tengefu" au " "inayojijithibiti binafsi"
|
|
|
|
# yenye busara
|
|
|
|
"inayojithibiti binafsi" au "inayotawala tamaa"
|
|
|
|
# sahihi
|
|
|
|
"yenye afya"
|
|
|
|
# sahihi katika imani
|
|
|
|
"yenye afya katika imani" au "sahihi katika imani zao"
|
|
|
|
# Sahihi...katika pendo
|
|
|
|
"na upendo wenye afya"
|
|
|
|
# sahihi...katika uvumilivu
|
|
|
|
"imara" au "ya kudumu" au "isiyochoka"
|