sw_tn/tit/02/01.md

704 B

Sentensi unganishi:

Paulo anaendelea kumweleza Tito sababu za yeye kuhubiri Neno la Mungu, na jinsi ambavyo wazee, akina mama wazee, vijana, na watumwa au watumishi wanapaswa kuishi kama waamini.

Lakini wewe

Paulo anatofautisha "Lakini wewe Tito, kinyume na walimu wa uongo"

na maelekezo ya kuaminika

"mafundisho ya kweli" au "na mafundisho sahihi"

Kiasi

"akili tengefu" au " "inayojijithibiti binafsi"

yenye busara

"inayojithibiti binafsi" au "inayotawala tamaa"

sahihi

"yenye afya"

sahihi katika imani

"yenye afya katika imani" au "sahihi katika imani zao"

Sahihi...katika pendo

"na upendo wenye afya"

sahihi...katika uvumilivu

"imara" au "ya kudumu" au "isiyochoka"