sw_tn/tit/01/15.md

614 B

Kwa wale walio safi, vyote ni safi.

Kila kitu ni safi kwa yule aliye safi ndani yake. " kila kitu anachofanya kitakuwa safi"

kwa wale walio safi

kwa wale walimpokea Mungu

Kwa wale waliochafuliwa na wasioamini, hakunakilicho safi

Paulo anaongelea watu wenye dhambi kana kwamba ni wachafu kimwili. "Yeyote aliiye najisi kimaadili na ambaye haamini hawezi kuwa safi."

wanamkana kwa matendo yao

"matendo yao yanaonesha kuwa hawamjui"

waovu (wanachukiza)

mbaya, ya kutia kinyaa au isiyofaa

Hawakuthibitishwa kwa tendo lolote jema

"hakuna mtu yeyote anayewatarajia kufanya kitu chochote kizuri"