forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
614 B
Markdown
24 lines
614 B
Markdown
|
# Kwa wale walio safi, vyote ni safi.
|
||
|
|
||
|
Kila kitu ni safi kwa yule aliye safi ndani yake. " kila kitu anachofanya kitakuwa safi"
|
||
|
|
||
|
# kwa wale walio safi
|
||
|
|
||
|
kwa wale walimpokea Mungu
|
||
|
|
||
|
# Kwa wale waliochafuliwa na wasioamini, hakunakilicho safi
|
||
|
|
||
|
Paulo anaongelea watu wenye dhambi kana kwamba ni wachafu kimwili. "Yeyote aliiye najisi kimaadili na ambaye haamini hawezi kuwa safi."
|
||
|
|
||
|
# wanamkana kwa matendo yao
|
||
|
|
||
|
"matendo yao yanaonesha kuwa hawamjui"
|
||
|
|
||
|
# waovu (wanachukiza)
|
||
|
|
||
|
mbaya, ya kutia kinyaa au isiyofaa
|
||
|
|
||
|
# Hawakuthibitishwa kwa tendo lolote jema
|
||
|
|
||
|
"hakuna mtu yeyote anayewatarajia kufanya kitu chochote kizuri"
|