forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
914 B
Markdown
36 lines
914 B
Markdown
# Mwana wa kweli
|
|
|
|
Ingawa Tito hakuwa mwana wa Paulo kimwili, wanashiriki imani moja katika Kristo. Hivyo katika Kristo, Paulo humwona Tito kama mtoto wake. "wewe ni kama mwanangu"
|
|
|
|
# Imani yetu ya kawaida
|
|
|
|
Paulo anaelezea imani ile ile ambayo wote wanayoshiriki katika Kristo. "Mafundisho yale yale ambayo sisi sote tunaamini"
|
|
|
|
# Neema,huruma na amani
|
|
|
|
Hii ilikuwa salamu ya kawaida. "Neema,huruma na amani ziwe kwenu" au "mjazwe wema, huruma na amanikwenu."
|
|
|
|
# Yesu Kristo mwokozi wetu
|
|
|
|
"Yesu Kristo ambaye ni mwokozi wetu"
|
|
|
|
# Kwa kusudi hili
|
|
|
|
"Hii ni sababu"
|
|
|
|
# Nilikuacha Krete
|
|
|
|
"Nilikuambia kubaki Krete"
|
|
|
|
# Kwamba uyatengeneze mambo ambayo hayajakamilika
|
|
|
|
"Ili kwamba ungeamalizia kupanga mambo yaliyohitajika kukamilishwa."
|
|
|
|
# Kuweka wazee
|
|
|
|
"chagua wazee" au "panga na kudhirisha wazee"
|
|
|
|
# wazee
|
|
|
|
Katika makanisa ya kwanzaya Kikristo ,Wazee wakikristo walipewa uongozi wa kiroho kwa mkutano wa waumini.
|