sw_tn/tit/01/04.md

914 B

Mwana wa kweli

Ingawa Tito hakuwa mwana wa Paulo kimwili, wanashiriki imani moja katika Kristo. Hivyo katika Kristo, Paulo humwona Tito kama mtoto wake. "wewe ni kama mwanangu"

Imani yetu ya kawaida

Paulo anaelezea imani ile ile ambayo wote wanayoshiriki katika Kristo. "Mafundisho yale yale ambayo sisi sote tunaamini"

Neema,huruma na amani

Hii ilikuwa salamu ya kawaida. "Neema,huruma na amani ziwe kwenu" au "mjazwe wema, huruma na amanikwenu."

Yesu Kristo mwokozi wetu

"Yesu Kristo ambaye ni mwokozi wetu"

Kwa kusudi hili

"Hii ni sababu"

Nilikuacha Krete

"Nilikuambia kubaki Krete"

Kwamba uyatengeneze mambo ambayo hayajakamilika

"Ili kwamba ungeamalizia kupanga mambo yaliyohitajika kukamilishwa."

Kuweka wazee

"chagua wazee" au "panga na kudhirisha wazee"

wazee

Katika makanisa ya kwanzaya Kikristo ,Wazee wakikristo walipewa uongozi wa kiroho kwa mkutano wa waumini.