sw_tn/sng/08/11.md

662 B

Baali Hamoni

Hili ni jina la mji kaskazini mwa Israeli.

wao ambao watalitunza

"watu watakao simamia"

Kila mmoja alipaswa kuleta shekeli elfu moja za fedha kwa matunda yake

"Kila mwanaume alipaswa kumpatia Sulemani shekeli elfu moja kama malipo ya matunda ya shamba la mizabibu.

kuleta shekeli elfu moja za fedha

"kuleta shekeli 1,000 za fedha"

Shamba langu ka mzabibu ni langu

"Mimi ndiye muhusika wa shamba langu la mizabibu." Mwanamke anajitaja kama shamba la mizabibu kama ilivyo 1:5

shekeli elfu moja ni za kwako, Sulemani mpenzi

Mwanamke ana mpatia bure faida ya mizabibu kwa Sulemani japo kuwa ni yake anaeza kumpa yeyote anayetaka.