sw_tn/rut/01/06.md

253 B

alisikia katika nchi ya Moabu

"wakati Naomi anaishi na Moabu alisikia"

Yahweh

Hili ni jina la Mungu alilo lirihidhisha kwa watu wa Agano la Kale.

alisaidia watu wake kwenye shida

Mungu aliona mahitaji yao na kutoa mavuno mazuri kwa ajili yao