forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
468 B
Markdown
20 lines
468 B
Markdown
# Prisila na Akila
|
|
|
|
Priska anajulikana kama Prisila, alikuwa mke wa Akila
|
|
|
|
# watenda kazi nami katika Kristo Yesu
|
|
|
|
"Ambaye anatenda kazi na mimi kuwaambia watu habari za Yesu Kristo"
|
|
|
|
# lisalimie kanisa lililo katika nyumba yao
|
|
|
|
"Wasalimie waumini ambao hukutana nyumbani mwa nyumba ya Mungu.
|
|
|
|
# Epanieto
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanaume
|
|
|
|
# mzaliwa wa kwanza katika Asia kwa Kristo
|
|
|
|
kivumishi hiki kinamaanisha kuwa Epanieto alikuwa mtu wa kwanza katika Asia kumwamini Yesu.
|