forked from WA-Catalog/sw_tn
468 B
468 B
Prisila na Akila
Priska anajulikana kama Prisila, alikuwa mke wa Akila
watenda kazi nami katika Kristo Yesu
"Ambaye anatenda kazi na mimi kuwaambia watu habari za Yesu Kristo"
lisalimie kanisa lililo katika nyumba yao
"Wasalimie waumini ambao hukutana nyumbani mwa nyumba ya Mungu.
Epanieto
Hili ni jina la mwanaume
mzaliwa wa kwanza katika Asia kwa Kristo
kivumishi hiki kinamaanisha kuwa Epanieto alikuwa mtu wa kwanza katika Asia kumwamini Yesu.