sw_tn/rom/16/03.md

468 B

Prisila na Akila

Priska anajulikana kama Prisila, alikuwa mke wa Akila

watenda kazi nami katika Kristo Yesu

"Ambaye anatenda kazi na mimi kuwaambia watu habari za Yesu Kristo"

lisalimie kanisa lililo katika nyumba yao

"Wasalimie waumini ambao hukutana nyumbani mwa nyumba ya Mungu.

Epanieto

Hili ni jina la mwanaume

mzaliwa wa kwanza katika Asia kwa Kristo

kivumishi hiki kinamaanisha kuwa Epanieto alikuwa mtu wa kwanza katika Asia kumwamini Yesu.