sw_tn/rom/15/26.md

424 B

Ndiyo, ilikuwa kwa upendo wao

"Waumini wa Makedonia na Akaya walipendezwa kutenda" au "walifurahia kutenda"

hakika wamekuwa wadeni wao

"hakika watu wa Makedonia na Akaya ni wadeni kwa waumini wa Yerusalemu"

ikiwa mataifa wameshiriki katika mambo yao ya kiroho, wanadaiwa na wao pia kuwahudumia

"tangu mataifa wameshiriki mambo ya rohoni na waumini wa Yerusalem, Mataifa wanadai huduma kwa waumini wa Yerusalemu"