sw_tn/rom/15/20.md

311 B

Kwa njia hii, tamaa yangu imekuwa kuitangaza injili, lakini si mahali Kristo anajulikana kwa jina

"Kwasababu hii, Ninataka huihubiri habari njema katika sehemu ambazo kamwe hazijasikia habari za Kristo"

Ambao kwa yeye hawana habari zake aliyekuja

"Wale ambao hakuna hata mmoja alishawaambia habari zake"