sw_tn/rom/15/08.md

387 B

Kwakuwa nasema

Neno "Mimi linafafanua juu ya Paulo.

"Kristo amefanywa mtumishi wa tohara

Yesu Kristo alikuja kuwasaidia Wayahudi"

ili kwamba aweze kuthibitisha ahadi walizopewa mababa

"kwamba Mungu aweze kuzithibitisha ahadi alizowapa mababa wa Wayahudi"

kama ilivyoandikwa

"kama ilivyoandikwa kwenye maandiko"

na kwa mataifa

"na Kristo amefanywa mtumishi wa mataifa"