sw_tn/rom/15/03.md

336 B

Matusi ya wale waliokutukana yamenipata mimi

"Matusi ya wale waliomtukana Mungu yamempata Kristo pia"

Kwa chochote kilichotangulia kuandikwa, kiliandikwa kwa kutuelekeza

"Kila kitu kilichoandikwa katika maandiko wakati uliopita kiliandikwa kutujulisha sisi"

yetu...sisi

Paulo anawaunganisha wasomaji wake na waumini wengine.