sw_tn/rom/13/03.md

797 B

Kwa kuwa

Paulo anaeleza nini kitatokea ikiwa serikali itamtia hatiani mtu.

Watawala si watu wa kuogofya

Watawala hawafanyi watu waogope.

Kwa mema... kwa maovu

Watu hutambulika kwa " matendo yao mema" au " matendo yao mabaya"

Je unatamani kuwa mwenye kuogopa mamlaka

"Ngoja nikueleze jinsi ya kuogopa mamlaka"

Utasifiwa kutokana na hiyo

Serikali itasema mambo mazuri juu ya wale watendao mema.

Habebi upanga bila sababu

"Anabeba upanga kwa sababu iliyo njema" au " anauwezo wa kuwaadhibu watu, na atawaadhibu watu."

Mlipakisasi kwa gadhabu

" Mtu anaye adhibu watu kama maelezo ya hasira ya serokali dhidi ya maasi"

Si tu kwa sababu ya gadhabu, lakini pia kwa sababu ya dhamiri.

"Siyo tu kwamba serikali haitawaadhibu, bali pia utakuwa na dhamiri safi mbele za Mungu"