sw_tn/rom/13/03.md

32 lines
797 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Kwa kuwa
Paulo anaeleza nini kitatokea ikiwa serikali itamtia hatiani mtu.
# Watawala si watu wa kuogofya
Watawala hawafanyi watu waogope.
# Kwa mema... kwa maovu
Watu hutambulika kwa " matendo yao mema" au " matendo yao mabaya"
# Je unatamani kuwa mwenye kuogopa mamlaka
"Ngoja nikueleze jinsi ya kuogopa mamlaka"
# Utasifiwa kutokana na hiyo
Serikali itasema mambo mazuri juu ya wale watendao mema.
# Habebi upanga bila sababu
"Anabeba upanga kwa sababu iliyo njema" au " anauwezo wa kuwaadhibu watu, na atawaadhibu watu."
# Mlipakisasi kwa gadhabu
" Mtu anaye adhibu watu kama maelezo ya hasira ya serokali dhidi ya maasi"
# Si tu kwa sababu ya gadhabu, lakini pia kwa sababu ya dhamiri.
"Siyo tu kwamba serikali haitawaadhibu, bali pia utakuwa na dhamiri safi mbele za Mungu"