sw_tn/rom/12/03.md

620 B

kwa sababu ya neema niliyopewa,

Hapa "neema" inaelezea Mungu alivyomchagua Pulo kuwa Mtume na kiongozi wa kanisa. "Kwa kuwa Mungu alinichagua kuwa Mtume"

Kwamba kila mtu ambaye yupo miongoni mwenu hapaswi kufikiri zaidi juu yenu wenyewe kuliko mnavyopaswa kufikiri

"Kwamba mtu asifikiri kwamba ni bora zaidi ya watu wengine"

Badala yake, mnapaswa kufikiri kwa njia ya hekima

"Lakini mnapaswa kuwa na hekimakwa namna mnavyofikiri kuhusu ninyi wenyewe"

kama ambavyo Mungu amewapa kila mmoja kiasi fulani cha imani.

Ikiwa Mungu amewapa kila mmoja kiasi tofauti cha imani kwamba mnapaswa kufikiri kwa makini"