forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
632 B
Markdown
24 lines
632 B
Markdown
# Sitaki ninyi msijue
|
|
|
|
"Natamani sana mtambue"
|
|
|
|
# Mimi
|
|
|
|
Neno "mimi" linamaanisha paulo.
|
|
|
|
# wewe...wewe... ninyi
|
|
|
|
Maneno haya "wewe" na "ninyi" yanamaanisha Mataifa walioamini.
|
|
|
|
# ili kwamba msiwe na hekima katika kufikiri kwenu wenyewe.
|
|
|
|
Waamini wa mataifa wanaweza kuamini kwamba wana hekima zaidi kuliko Wayahudi wasioamini. "Ili msifikiri kwamba mna hekima zaidi ya mlivyo"
|
|
|
|
# ubaguzi mgumu umetokea katika Israeli
|
|
|
|
Baadhi ya Wayahudi walikataa kukubali wokovu kupitia kwa Yesu.
|
|
|
|
# hadi kukamilika kwa mataifa kutakapokuja
|
|
|
|
Neno "mpaka" linaelezea kuwa Wayahudi wengi wataamini baada ya Mungu kumaliza kuwaleta Mataifa kanisani.
|