sw_tn/rom/11/25.md

632 B

Sitaki ninyi msijue

"Natamani sana mtambue"

Mimi

Neno "mimi" linamaanisha paulo.

wewe...wewe... ninyi

Maneno haya "wewe" na "ninyi" yanamaanisha Mataifa walioamini.

ili kwamba msiwe na hekima katika kufikiri kwenu wenyewe.

Waamini wa mataifa wanaweza kuamini kwamba wana hekima zaidi kuliko Wayahudi wasioamini. "Ili msifikiri kwamba mna hekima zaidi ya mlivyo"

ubaguzi mgumu umetokea katika Israeli

Baadhi ya Wayahudi walikataa kukubali wokovu kupitia kwa Yesu.

hadi kukamilika kwa mataifa kutakapokuja

Neno "mpaka" linaelezea kuwa Wayahudi wengi wataamini baada ya Mungu kumaliza kuwaleta Mataifa kanisani.