sw_tn/rom/11/19.md

645 B

Matawi yalikatwa

"Mungu aliyakata matawi"

Matawi

Neno hili limetumika kuwaelezea Wayahudi walikataliwa na Mungu.

Naweza kupandikizwa

maneno haya yametumika kuwaelezea waamini wa Mataifa waliokubaliwa na Mungu. "anaweza kunipachika"

"walikatwa"

"aliwakata"

wao... wale

Maneno "wao" au "wale" inamaanisha Wayahudi ambao hawakuamini.

Lakini wewe simama kwa imani yako

"Lakini ubaki kwa sababu ya imani yako"

Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe

"Kwa maana ikiwa Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe"

Matawi ya asili

Hii inamaanisha Wayahudi