sw_tn/rom/11/17.md

562 B

Kama wewe, tawi pori la mizeituni

Neno "wewe" na "tawi pori la mizeituni" linaelezea Watu wa Mataifa walikubali wokovu kupitia Yesu.

Ulipandikizwa kati yao

"Walipachikwa kwenye mti kati ya matawi yaliyobaki"

Mizizi ya utajiri wa mizeituni

Hii inamaanisha ahadi za Mungu.

Usijisifu juu ya matawi

"Usisieme kuwa wewe ni bora zaidi ya Wayahudi waliokataliwa na Mungu"

si wewe ambaye unasaidia mizizi, bali mizizi inakusaidia wewe

Waamini wa Mataifa waliamini kuwa walikombolewa tuu kwa sababu ya agano la ahadi la Mungu lililofanywa kwa Wayahudi