forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
562 B
Markdown
20 lines
562 B
Markdown
|
# Kama wewe, tawi pori la mizeituni
|
||
|
|
||
|
Neno "wewe" na "tawi pori la mizeituni" linaelezea Watu wa Mataifa walikubali wokovu kupitia Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Ulipandikizwa kati yao
|
||
|
|
||
|
"Walipachikwa kwenye mti kati ya matawi yaliyobaki"
|
||
|
|
||
|
# Mizizi ya utajiri wa mizeituni
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha ahadi za Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Usijisifu juu ya matawi
|
||
|
|
||
|
"Usisieme kuwa wewe ni bora zaidi ya Wayahudi waliokataliwa na Mungu"
|
||
|
|
||
|
# si wewe ambaye unasaidia mizizi, bali mizizi inakusaidia wewe
|
||
|
|
||
|
Waamini wa Mataifa waliamini kuwa walikombolewa tuu kwa sababu ya agano la ahadi la Mungu lililofanywa kwa Wayahudi
|