sw_tn/rom/11/06.md

643 B

Lakini ikiwa ni kwa neema

Paulo anaendelea kuelezea namna neema ya Mungu inavyofanya kazi. "kwa kuwa neema ya Mungu inafanya kazi kwa rehema"

Ni nini basi?

"Tuhitimishe vipi?" "hivi ndivyo ambavyo tunapaswa kukumbuka."

Mungu amewapa roho ya ubutu, macho ili wasione, na masikio ili wasisikie

Huu ni ufafanuzi kuhusu ukweli kwamba niwabutu kiroho. Hawana uwezo wa kuona na kusikia ukweli wa kiroho.

Roho ya

Hapa inamaanisha "kuwa na tabia za" mfano "roho ya hekima."

Macho ili wasione

Kuona kwa jicho moja ilichukuliwa kuwa sawa na kupata uelewa.

Masikio ili wasisikie

Kusikia kwa masikio ilichukuliwa kuwa sawa na utii.