sw_tn/rom/11/04.md

337 B

Lakini ni nini Mungu alijibu akiwaambia?

Paulo anatumia swali hili kuwaleta wasomaji kwenye wazo linalofuata.

Ni nini jibu la Mungu akiwaambia

"Mungu aliwajibu vipi"

Yeye

Neno "yeye" linamaanisha Eliya

Watu elfu saba

"watu 7000"

Mabaki

Hapa inamaanisha sehemu ndogo ya watu waliochaguliwa na Mungu kupokea neema yake.